SOLOMON MKUBWA: Nilipoteza Mkono Wangu Baada Ya Kurogwa Na Mama Wa Kambo

“Nikiwa na miaka 12, nilipata matatizo ya uvimbe kwa mkono wangu wa kushoto. Uvimbe huo ulikuwa wa ajabu sana na hakuna aliyefahamu chanzo kilikuwa ni nini? Niliugua kwa muda wa miaka mitatu. Wazazi wangu walihangaika kunipeleka kwa wataalam wa hospitali mbalimbali na hata kwa wanganga wa kienyeji bila mafanikio, na baada ya muda huo kupita ilianzishwa hospitali moja na wazungu karibu na nyumbani kwetu, na Baada ya muda nilipelekwa kwenye hospitali ya wazungu iliyoanzishwa karibu na nyumbani kwetu na hapo pia wataalam wa hapo walishindwa na kushauri nikatwe mkono kwa lengo la kunusuru uhai wangu. Hivyo ndivyo nilivyopoteza mkono wangu” alisikika akisema Solomoni Mukubwa mmoja wa waimbaji maarufu wa muziki wa Injili Afrika Ya Mashariki na Kati kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)

Solomoni aliendelea kusema kuwa hakuna mtu aliyejua kuwa uvimbe huo umetokana na nini lakini hapo baadae ilidhihirika wazi kuwa mama yake wa kambo ndie aliyemroga na kumsababishia tatizo hilo kwani baadae alikuja kukiri na kueleza ukweli.

Solomoni, ambae kwa sasa masikani yake yapo jiji la Nairobi nchini Kenya alisema kuwa, wimbo wake wa Mfalme wa amani aliutunga ili kumtukuza Mungu baada ya kumuepusha na kifo ambacho kingempata baada ya mama yake wa kambo kumroga na kusababisha mkono wake kuvimba na alitibiwa na madaktari bingwa bila mafanikio na alipoenda kwa waganga wa kienyeji hakupona.

“Wimbo wangu wa Mfalme wa amani niliamua kuuimba baada kuvuka katika shida hizo na albamu yangu kuipa jina la Mungu mwenye nguvu, na kuna maneno niliweka kwenye kibao hicho kwamba; ukiwa na shida usiende kwa waganga wa dunia, mwite mfalme wa amani, yeye anajibu maombi’ alisema Solomoni Mukubwa

“Baada ya kupona mkono wangu, mama yangu wa kambo alikiri kunifanyia kitendo hicho, lakini mimi nilipookoka nilimsamehe, baada ya muda mfupi naye aliokoka kutokana na pigo kali alilopata mwanaye kwa kuumia jicho alipokuwa anachezea chelewa kwenye moto ambalo liliruka na kuharibu kabisa jicho lake.

Solomoni Mukubwa ana albamu mbili ambazo ni “Sijaona Rafiki” na “Mungu Mwenye Nguvu”

Kutokana na taarifa hii, tumekuwa tukipokea simu nyingi sana kutoka sehem mbali mbali wakihitaji namba ya simu ya solomon kwajili ya huduma, hivyo tumeona ni vyema tuiweke hapa hiyo namba yake.

Wasiliana na solomon mkubwa kwa simu namba: +254726158434

Kama usipompata wasiliana nasi (NHM) tutakusaidia kumpata: newhopeministrytanzania@gmail.com

About New Hope Ministry

Our ministry is based on Preaching the Gospel all over the world we preach the Gospel and we plant churches around the world. Contact us: Mobile: (255) 787589475 E-mail: newhopeministrytanzania@gmail.com
This entry was posted in HOME. Bookmark the permalink.

106 Responses to SOLOMON MKUBWA: Nilipoteza Mkono Wangu Baada Ya Kurogwa Na Mama Wa Kambo

  1. David says:

    Mungu atakuweka mfalme wa amani.

    Like

  2. lydia says:

    you a blessed man of God.Yo songs bless me alot.

    Like

  3. George Mathenge says:

    I like your song Mungu wetu mwenye nguvu,everytime the song is sung i feel my soul is quenched

    Like

  4. adlea says:

    your songs is a blessings to us all may God be with u .

    Like

  5. Lilian says:

    indeed mungu ni Mfalme wa Amani

    Like

  6. your songs so encouraging and strenghening of fairth in God says:

    may GodAlmighty continue using you to change the world

    Like

  7. LYDIAH says:

    Bro, u r a strong man, i like yua songs and they really bless me.Be blessed.

    Like

  8. Regge Benter says:

    Indeed the song Mfalme wa Amani makes me forget my sorrows and bitterness. We can’t cry to our fellow human beings they only use us to achieve their favours. God is all.

    Like

  9. Suji Joshua says:

    I thank GOD 4 ur bein’ coz ur recovery from dat deadly disease & ur songs, de wicked turn 2 righteous. Bismilahi !

    Like

  10. cikuwamuiruri says:

    SOLOMON MAY THE lORD BLESS YOU, your songs are a blessing to me and my family, cant help myself, i just play MUNGU MWENYE NGUVU all day long, bless you bro

    Like

  11. Tanui Rose says:

    Your songs are a great blessing brother. God bless and lift you.

    Like

  12. Jacob says:

    Your songs are a great blessing to me and your testimony is a life changing one. God bless you as you continue to serve him and transform other lives.

    Like

  13. Esther nkatha says:

    Your songs r a blessing 2 me especially when ad down i listen 2 mungu mwenye nguvu,God bless u.

    Like

  14. florida kendi says:

    FLORIDA KENDI
    I LOVE YOUR SONGS WITH PASSION COZ THEY KEEP ME GOIN HATA KAMA AM IN DIFFICULT SITUATION JAH BLESS YAH SOLOMON

    Like

  15. BEN WANYONYI says:

    Pole sana Solomon Mkubwa kwa yote uliyoyapitia. Na MUNGU mwenye uwezo Akubariki

    Like

  16. hilda says:

    kama mungu amekutoa umbali huo naamini nami ataniokoa kwa yale ninayo pitia nyimbo zako zinanifariji.

    Like

  17. Rukia chakwe says:

    Am very sorry ur my big fun i adore your forgiveness.plz gove mre solomon mukubwa email address

    Like

  18. SAM says:

    YOU ARE A MAN OF GOD, PLEASE DON’T BELIEVE IN KUROGWA. THEY ARE NOT THERE. Nilipoteza Mkono Wangu Baada Ya Kurogwa Na Mama Wa Kambo?????? DO U BELIEVE THIS SOLOMON??????

    Like

    • mariam says:

      For the last 20 years and some classes in Christianity and civilization, i don’t believe in witchcraft even a micro ounce!!!!!

      Like

      • mariam says:

        But I must say Solomon, you are one of the highly blessed gospel singer in east and central Africa, you should come and visit us here in the USA. I listen to your songs on Spotify and (excuse me please) you are so handsome mtoto wa mungu, God bless you and your family.

        Like

  19. ndimyake says:

    mungu wambinguni akusaidi na umwabudu ktk roho na kweli

    Like

  20. ndimyake says:

    Da! Mungu akubariki kwa nyimbo zako.

    Like

  21. RAFAEL SENKONDO FROM TANGA TZ says:

    God may bless a man of god ua song is real touch me when am listening mfaleme wa amani and mungu wetu mwenye nguvu.

    Like

  22. Apostlle Banza KIKUDJI says:

    Mtumishi wa Bwana salomoni Aksanti saana na nyimbo zako na ile yote una andika Bwana a barikiwe saana Mimi ni Apostle Banza KIKUDJi Wa USA na sifu mungu saana ubarikiwe tu na penda number yako ya simu dju ya kazi la bwana aksanti saana ndugu

    Like

  23. kenneth says:

    Naomba kwa Mwenyezi Mungu kwa jina la Yesu Kristo akuwezeshe katika Muziki wako wa Injili, ili uendelee kutuelimisha na kutufurahisha Kiroho.

    Like

  24. Evlyn Njeri says:

    everytime i have a bash me huimba mfalme wa amani na me hupata amani moyoni mwangu. kudos Solomon en God bless u abudantly 4 ur talent

    Like

  25. I have read solomon mukubwa story, and listen to his song sijaona rafiki kama yesu.what a blessed man.Yesu is my best sijaona rafiki kama yesu!!!

    Like

  26. faith kipury says:

    MUNGU AKUBARIKI SANA NYIMBO ZAKO ZIMENIBARIKI SANA..

    Like

  27. fiston kashwantale says:

    Hello man of god nafurai sana kusoma story ya maisha yako, kilasiku kabla sija lala uwa ninasikiliza mziki wako ambao unaitwa Mfalme wa amani mungu azidi kukubariki

    Like

  28. janet leah janice says:

    Your songs lift me up wen everything turns out.may God give u abudant life ful of joy.

    Like

  29. Subira says:

    Ur songs are in touch,go ahead my brother. God blessing u

    Like

  30. butoto says:

    Mimi butoto penda,MUngu akubariki nyimbo zako zina nigusa saaaaana,haswa nyimbo za wokovu,papa kila album usikose kutia wimbo wawokovu.Mungu akubariki.

    Like

  31. catherine mutisya says:

    Sorry man of God.Am really touched with that but by the grave of God he made u be who u r today.U really bless me and God continue to bless u abudantly.

    Like

  32. Gitonga Njoki says:

    God bless you as you spread his word through music

    Like

  33. S. Magana says:

    Ur songs are blessing to me, spread the word of God to the world, He holds your future my brother. God bless u.

    Like

  34. Nancy says:

    hakika mungu ni mfalme wa amani.

    Like

  35. nicholas limo pilot kipngetich says:

    Songs yako inanibariki sana

    Like

  36. otienno says:

    true worship songs.

    Like

  37. SAFI says:

    NYIMBO ZAKO ZINAFARIJI,ZINABARIKI,ZINAOKOWA NA ZINALETA MATUMAINII.MUNGU WA MBINGUNI AZIDI KUKULINDA, KUKUBARIKI NA KUCOCEYA KARAMA YAKO.

    Like

  38. Albash says:

    Be blessed man of God,all happens wth a reason.

    Like

  39. leticia says:

    mungu akushushushie baraka zaidi ya hapo amen

    Like

  40. ben says:

    God bless u and gve u d wisdom to write more songs.Amen

    Like

  41. Ndugusolomon mukubwa polesana kwayaliokukuta hakika mungu akubari kugîsi umejitowa kwajili yakaziyake napenda sana albamu yako mungumwenyenguvu hakikanyimbo zakozinanifariji sana moyowangu namimi nimeokokaniko namiaka 13 sasa ninakuwanamiaka 21Mupakaivi ninaendelekumu tumikiamungu hakika tufanye kaziyamungu kwabidi mungu wetu hachoki.

    Like

  42. Maandikomatakatifu yanasema ole wale wamuitaobwana wakati hawajaokoka gazabuyao nikubwasana kwamungu nashuku sana mutumi shiwamungu namimi ninapenda sana uduma yakuimba ndugu sasaninge penda tushirikiane mimi nawewe katikauduma yakuimba mimi nimukongomani drc sud kivu lakini kwasasa ni south african kwajiliyakutafutamisha nambayangu yisimu iyi+27844656275 kwa,wakatiwo,wote ule unawezani,itaji miminikotayari kushirikiana pamojanawewe.

    Like

  43. sarah nzomo says:

    Mungu ni muweza zidi kumtumikia zaidi tuwapende na kuwatendea mema wanaotutendea mabaya

    Like

  44. Scolarstica says:

    Heri mwisho wa jambo kuliko mwanzo wake mungu ni muweza yote.

    Like

  45. zelva says:

    hakika rafiki wa uhakika ni \yesu yule aliyemwaga damu, yesu wa nazareti aliye hai. rafiki wengine si wa kweli wanaweza kukuzushia mambo makubwa usiyojua. \nasi tujifunge sana kwa yesu aliye hai atatufunika kwa damu ya dhamani tutembee katika nuru ya kweli, maana dunia ya sasa wanaokaa ndani yake wamebadirika saana wana mambo mazito. mungu akutie nguvu uzidi kumtumikia mungu kwa nyimbo zako.

    Like

  46. metod kilowa says:

    Pole xna ndugu solomon kweli mungu ni mfalme wa aman, duuuh! naipenda nyimbo yako ya mwenye nguvu.

    Like

  47. God bless you man of God.your songs especially mungu mwenye nguvu unibariki sana.I believe you must have been in prayer and fasting before you launched the video

    Like

  48. Tuya says:

    Thanx 2 God bcoz ua song bless me so much, what happen on ua lyf let say it is God wish.

    Like

  49. john ogeno says:

    solomon God will never stop blessing you,your song `mungu mwenye nguvu’inspires me most,,,God is above all,,

    Like

  50. Pamela chibole says:

    I thank god for his wonders .na wakati mwingi tumuajie mungu. ushuhunda wako umenitia nguvu coz hata mimi nilipitia hali kama yako bt Mangu wetu nimwenye nguvu. anatupa tumaini kila asubuhi .barikiwa unapo nitia moyo god be with u everywhere u go i love your songs.

    Am;
    Pamela akosa chibole Nikiwa state of Qatar shallom.

    Like

  51. Mwaura says:

    Always being blessed by Solomon songs

    Like

  52. Grace shiro, msa kenya says:

    Mungu akubariki sana ndugu solomon na i love u n ur touching and blessing songs, May almighty remember and be with u forever, amen!!!

    Like

  53. joan kaimuri says:

    you are ablessed man of God your songs ar always a blessing to me worship and serve the Lord your Creator till He comes be lifted.

    Like

  54. Am Much Blessed With Your Testimony And I Just Want To Pray That Let God Keep On Strengthening You Day By Day.Am Also An Upcoming Singer And I Would Like To Coorperate With Great People Like U Always For Your Songs Really Bless And Touches The Hearts Of Most People.God Bless U So Much.Amen..!

    Like

  55. Desh Wycky says:

    May the Almighty God uplift you and make you a shining star that through your songs people may receive Jesus Christ and leave their evil ways.

    Like

  56. Bukuru makanda utambame says:

    Mungu akubariki sana minapo sikiliza nyimbo zako hasa mwimbo wa nasikia mafaridika sana, Mungu akubariki sana na akuzidishie.

    Like

  57. Patrick Omasete says:

    Pole Ndugu Solomon kwa yaliyokupata. Mwenyezi Mungu yu nawe na atazidi kukuinua zaidi. Nyimbo zako hunifariji mno. God Bless You & Bless Your Family.

    Like

  58. Magdalene says:

    you are a very luck guy because God saved you from the pangs of the evil one and now you are a blessing to many.

    Like

  59. David Ngugi says:

    Hakika Nyimbo Zako Zinabariki Hakika Mungu Wetu Ni Mwenye Nguvu

    Like

  60. Jossy Ethel says:

    Your Songs are a real blessing to me especially that of mungu mwenye nguvu is very touching . God bless u.

    Like

    • janvier rukengeza says:

      ndugu solomon mukubwa nimesoma story yako ya maisha pole sana kwa shida ulio pata na mungu azidi kukubari na kukutiya nguvu ili uwendeleye kumutumikiya , nyimbo zako kuwa zinanibariki sana asante kwa utungaji mzuri wa neno la mungu , mfalme wa amani ni mungu pekeyake asante kwa uwimbaji wako mzuri mungu aendeleye kuku linda amen .

      Like

  61. maureen says:

    For sure brother Solomon your songs really touches ma heart.Barikiwa sana

    Like

  62. I thank you Solomon Mkubwa for your touching testimony. Every time i listen to your songs i feel blessed. God bless you.

    Like

  63. Yonah Onyango says:

    4sure Mungu Halali,na Ni Muweza May He Bless Us All.Amen!

    Like

  64. pole sana brother.
    lakini ukweli ni kwamba nyimbo zako hua zinanifariji sana. hasa nyimbo kama – mfalme wa amani, na sijaona rafiki kama yesu.

    Like

  65. lavy barrack says:

    hi mkubwa thiz iz one of your biggest fun in budalang’i constituency n i wnt u 2 knw tht u r a gr8t blessng to my pals n i, lov u

    Like

  66. purity mumbua musau says:

    am purity mumbua musau frm machakos county,,.Am always moved by ur songs,they r a blesing to me ever.kip up ad welcome to our church reedemed gospel church….My number is 0716732215

    Like

  67. Patrick Muli says:

    Hakuna silaha yeyote iliyotumwa kinyume nasi itakayofaulu. God bls u bro. U r more than a blsng 2 me.

    Like

  68. Xtine viral says:

    God bless u bro Solomon and May u also continue telling everyone mungo ni mwenye nguvu thanks

    Like

  69. Trésor Zagabe says:

    je suis touché!Que Dieu te protège

    Like

  70. flora maputa says:

    all of you amazing,I glorify Lord JESUS,Solomon remain blessed with you family

    Like

  71. purity khasiala says:

    U R ALWAYz ABLESSING 2 MI BROTHER

    Like

    • Bagonza Denis says:

      Am madly in love of your gospel baaba utukuze. When u are in uganda please u can pay a visit to our church. +256712501704.

      Like

  72. emmanuel kiptoo says:

    mungu anaweza big up brother i’m intouch with ur testmony.Thanks

    Like

  73. AGUVASU MOSES says:

    Surely ushuhuda huu umenibariki tu sana! Barikiwa.

    Like

  74. Darmas says:

    God bless the work of the man of God Solomon mkubwa

    Like

  75. bonnie emm says:

    mungu akubariki sana solomoni na akutendee makubwa kwa nyimbo zako za kumtukuza mungu.zinanibariki kweli kweli. hongera

    Like

  76. Bukuru Makanda Utambame says:

    Poleni sana Bwana Salomon, ila hakuna maana tena kutangaza makosa ya mtu ambaye alikutendea makosa wakati tayari ameomba Musamaa. Kusamee ni kuvuta makosa, Mungu anapo tusamee hayakumbuki tena makosa yetu. Kutangaza makosa ya mtu wakati tayari amekwisha omba musamaa nikama haukuweza samehe. Asante.

    Like

  77. charles says:

    i love your ministry.karibu kitale

    Like

  78. Mungu kweli ndiye mfalme wa amani,wewe ni wabara na nyimbo zako za inua.Barikiwa.

    Like

  79. Harriet Amogola says:

    I need you to pray for me.Solomon mukubwa

    Like

  80. harmee dully says:

    Mr Solomon kiukweli cjaona muimbaji wa Gosper mwenye nyimbo na sauti nzur kma yako, sijawai ona mwenye haki ameachwa, nakupa haki yako nasifu kwa kaz nzur sna, bg up bro. Iam Muslim but i love so much your songs.

    Like

  81. Eric kipkoskei says:

    Jambo kaka; pokea salamu zangu za dhati kwa jina la yesu.. Ningependa msaada wako ili kuuza nyimbo zangu za injili ambozo nimezicheza kwa mtindo wa kisasa namna ya BAHATI na WILLY PAUL ingawa kidogo ina utofauti.. Mimi ni mkristo ambaye nimeokaka na namtimainia mola kwa hali na mal; kwa kungangana kwangu nimeweza kuenda kwa mahojiano katika stesheni kadhaa za radio kama Qfm; Hot 96; Chamgei fm; West fm na Kalya fm zilizoko upande wa magharibi za Kenya…. Waeza kunifikia kwa nambari yangu ya rununu 0729140150 na waeza kusikiliza vibao vyangu kutoka kwenye linki hili http://mdundo.com/a/2803 Asante na Mungu akubariki..

    Like

  82. john Mahero says:

    Nyimbo zako ziko na upako wa Mungu. Hongera na Mungu akupe mguvu zaidi unapo endelea kumsifu

    Like

  83. jabez says:

    u bless my heart solomon wit ua album Mungu mwenye nguvu….b blsd 2 bless ol nations

    Like

  84. Obieru Evans says:

    The Song It Rly Inspired Me 2xana.

    Like

  85. geofrey oluoch says:

    your songs do bless me so much.May holy spirit continue to minister with u to produce more songs.God bless u.

    Like

  86. LENNOX M BARIKIWA says:

    Waaauu!! You are a blessing to me bro. You are realy a blessing to me. I do sing your songs. Penina na Hanna I’ve searched it bt sijapata pliz imenibidi ni rekodi from the radio and it is a great great blessing. otherwise nakuombea more success bro. You gave us your number and we also need your paybill number to stand with you in this great mission. Thankyou.

    Like

  87. James says:

    I am looking for your original collection of your best songs. I live in ELdoret. Let me know how I can pay and get them. Your inspire me Mkubwa. God bless you and keep it up.

    Like

  88. STEVE says:

    Always Blessed By Your Songs Solomon May God Bless You Abundantly

    Like

  89. christyson mwaniki says:

    Solomon u r a blessing in my lyf, siwezi jizui kuskiza nyimbo zko hasa mungu mwaniki nguvu, nimewasamehe, siwezi ya mavuno, mfalme wa amani, kama si wwe ningehitwa nani, wah encouraging

    Like

  90. Onesmus Muuo says:

    God bless You my brother as you continue transforming the world through your touching songs especially Mungu mwenye nguvu na Uwe nami inspires me alot

    Like

  91. Christine Obiero. says:

    Nilijifunza kusamehea watu from your experience. Nabarikiwa sana na nyimbo zako na hiyo imenifanya nikutafute sana and i thank God nimepata phone number yako.

    Like

  92. caroline tierney says:

    Pole sana, baba, kuko vitu ingine vina fikaka ndanu ya maisha ya wwnadamu, ili tupate ushuhuda ya ku waubiri wengine, piya kuwa kaza ndani ya imani

    Like

  93. eric mwiti says:

    solomon u bless me where can I get album ya penina na Anna eric from meru.

    Like

  94. Bendera Joseph says:

    Solomoni Mkubwa is a good singer blessed and inspired by God.
    I need to contact him but I haven’t his mail adress.
    HELP ME in this PLEASE.

    Like

    • Benjamin says:

      Dear Solomon. may the LORD GOD PRESERVE YOU AND MAKE you urogi proof. as I am seated knaw nasikiliza yesu ndiye mokozi wangu habari njema raha Yangu. my question. Did you forgive the wickedly minded mama wakambo?

      Like

  95. Jackson suguta says:

    HALELUYA…Great man Of God Solomon me uimba nyimbo zako ka ushuhuda manake u realy insipre me aki I wish nipatane na wewe life life we sing aki.Me n mmoja wale wanaokufuatiliai nchini kenya ningependa kushirikiana na wewe kwa wimbaji ama tu niende na wewe kwa huduma unazo enda Imekuwa ma prayerrs tumeet you aki m number is 0707436707

    Like

  96. PATRICK MANG'ORI ANTONY says:

    Many thanks Mr. Solomon for your forgiveness….Na ninapenda sana unapoimba kwa ule wimbo wako “Nimewasamehe” ya kwamba umewasamehe wote na moyo wako uko safi….. asante sana nakupenda na nyimbo zako zote

    Like

  97. PATRICK MANG'ORI ANTONY says:

    Nashukuru

    Like

Leave a comment