Al shabaab bado wanaendelea na mauaji mjini Nairobi

Kundi la wapiganaji wa kiislam kutoka somalia maarufu kama Al-shabaab bado linaendeleza mashambulizi mjini nairobi. takriban watu 69 wameuawa. moshi umetanda katika eneo la mashambulizi hayo katika shoping mall ya wastegate.

Mungu wakumbuke watoto wako kenya.

About New Hope Ministry

Our ministry is based on Preaching the Gospel all over the world we preach the Gospel and we plant churches around the world. Contact us: Mobile: (255) 787589475 E-mail: newhopeministrytanzania@gmail.com
This entry was posted in HOME. Bookmark the permalink.

Leave a comment