Welcome for prayers. from this month to December 2012 we will be praying for students. University students, College students, secondary school students, primary school students, nursery school students and more… please fill the form below and let us know about you so we will pray for you. we also pray for the needs please let us know your need we will pray for you. even though you do not want to tell us your need, but God knows what you have to do is only to tell us to pray for you and God will answer you. stay in touch with Jesus.
Our principles
NEW HOPE MINISTRY'S SITE
This site is not for dating, it is the site for the word of God, everybody is allowed to comment and to teach the word of God on this site. you are all welcome.OUR PURPOSE
Our purpose is to reach out the Hopeless peoples, to preach them the Gospel and to give them the New Hope which comes from Christ Jesus. but this is not our only purpose but to help the peoples to get to know more about God and his kingdom, and to help the children to live through the will of God. so we allow every body to speak out through this site, anything which you want to speak just speak, if you want to ask just ask we will soon answer your question. you are welcome all.Mtandao huu ni kwa ajili ya neno la Mugu tu, Mtu yeyote unaruhusiwa kutoa mafundisho ya neno la Mungu hapa, na kama unamkutano wa injili, semina n.k, usisite kutangaza katika mtandao huu ni bure hutozwi gharama yoyote.
Bwana awabariki woteNew Hope Ministry
Mobile phones:
+255 715 961 270
+255 755 961 270
+255 787 589 475Prayer lines
Join this Ministry
we welcome missionaries
Sarah emmanuel released her new albam
NHM: Tutakuwa kihancha kenya 22/12/2014
NHM: Tutakuwa mjini Bujumbura Burundi 18/01/2015
Looking for copper mining investors in Tanzania
USA Mwakasege Conference
NHM: Tutakuwa Mwanza 24/03/2013
New Hope Ministry Blog
Strictly Gospel
Our friends blog site
NHM: Mwanza Feb.2014
DONATE FOR THIS MINISTRY
Please support us to curry this Gospel to other peoples, because we always travels for the Gospel, so we need money for transport, we need some money to leave with our family. we need money to buy food and accommodation while we travel, some times we need to hire equipments such as speaker &, electric power. In some countries we have to pay for the government to give us a permission to make a crusade. we need clothes and drinking water. so we do not have this money, without your support we cant continue, it is very difficult, please support us anything you have and God will bless you much.
EXIM BANK (T) LTD
P.O.BOX 1431
DAR ES SALAAM
TANZANIA.Account name: MOSES KAPAYA MAYILA
Account number: 5460997775
Swift code: EXTNTZTZ-
Join 5,114 other subscribers
sign in
visitors
My Name is Adelim Hyera (Mr) of Kibaha Tanzania. I’m Expecting to get a new work stpray for meation please
LikeLike
Thank you Adelim, we pray for you man of God, the Lord will go with you always. stay in touch with the Lord.
be blessed much.
LikeLike
pray for me nasumbuliwa sana na hofu vile vile naumwa tezi zina oversecrty so zinaleta tatizo kwenye moyo kama bp nk naomba maombi shetani ashindwe kwa kishindo kikuu sana mungu awabariki sana sana
LikeLike
Baraka Bwana Yesu asifiwe! Hakka tumekuombea Bwana atakuponya. Ubarikiwe sana! Karibu new hope ministry
LikeLike
Iam a lady have a problem i am requesting forafinancial break through,people owe me money.
LikeLike
shalom glady ngwenya;
we are probably praying for you keep in touch you will receikve the miracle.
LikeLike
Nahitaji maombezi ili niweze kuponywa pamoja na mchumba wangu aitwaye Aisha..mimi ni muathirika wa VVU..nahita faraja yake Mungu ili niwe mwanadam mpya
LikeLike
Pole sana Yohana. Tutakuwa na maombi maalumu kwajiri yako alhamisi ya wiki hii huko Rwanda. Bwana atakuponya kwa kuwa umeamua kumtafuta na kuhitaji kuponywa! maana imeandikwa “Waliponywa wote waliotaka kuponywa” Ubarikiwe sana.
LikeLike
Asanteni sana watumishi wa Mungu kwa kazi hio inayoenda kutendeka kwa ajili yangu..namuomba Mungu awe pamoja nami siku zote za Maisha yangu kwa kua sasa nimeamua kuachana na dhambi na kumfata yeye Jehova
LikeLike
Amina Yohana, kaa tayari kupokea muujiza wako.
LikeLike
Naomba maombi yenu watumishi wa mungu, Anihitaji mungu aniwezeshe niweze kupata hela ili niweze kujiendeleza kielimu, pia mungu aniwezeshe niweze kupata kazi ambayo ntakuwa na uwezo wa kusoma masomo ya jioni. Martha
LikeLike
Bwana Yesu apewe sifa! Ninabarikiwa sana na huduma yenu. Ninaitwa Greyson ninachukua Masters Degree in Corporate Communications and Public Relations katika chuo kikuu cha Leeds, kilichopo hapa Uingereza. Nampenda Yesu. Nahitaji maombi yanu Mungu anifanikishe katika masomo yangu. Kwa sasa nimeshafanya mitihani ya semester ya kwanza nasubiri matokeo yanayotarajiwa kutoka tarehe 15/2/2013. Mitihani kwa ujumla ilikuwa mizuri ila naomba Malaika wa Mungu wawe walinzi katika zoezi zima la usahihishaji wa mitihani na assignments. Nifaulu katika kuwango cha juu. Mbarikiwe
LikeLike
Shalom.. Asanteni kwa huduma mnayoendelea kuitoa. Naomba maombi yenu katika mambo matatu.
1. Kuwa karibu na Mungu na kutokukata tamaa katika kungojea neema na baraka zake
2. Kufanikiwa kupata Kazi.
3. Ulinzi katika mahusiano yangu na mchumba wangu Emmanuel.
Kwa kweli nahitaji maombi yenu kwani nimekua na imani haba katika maisha yangu na muda mwingine hata sijui my true purpose in this life maana nimekua nikikata tamaa.
Mbarikiwe.
LikeLike
Namshukuru mungu kwa kunionyesha mwanga wa mafanikio, amenipa vipaji vingi. Lakini nina tatizo la kuandamwa na nguvu za giza. Naomba maombi yenu nguvu za shetani zishindwe katika jina la Yesu.
LikeLike
Bwana Yesu asifiwe..huwa nabarikiwa sana ninaposikia mahubiri yako..mtumishi wa
Mungu nahitaji maombi yako ili niweze kupata kazi nimehangaika muda mrefu bila mafanikio.
LikeLike
KUTEMBEA NA ROHO MTAKATIFU KUNAHITAJI USIKIVU MKUBWA BARIKIWENI
LikeLike
naitwa OMEGA. NAZIDI KUBARIKIWA SANA NA HUDUMA YENU. NAHITAJI MNIKUMBUKE KWENYE MAOMBI NIPATE AJIRA MWAKA HUU KAMA NILIVYOAHIDIWA NA MKURUGENZI, PIA NAOMBA MAOMBI MUNGU ANIPE UAMINIFU WA HALI YA JUU PALE NITAKAPOAJIRIWA .MBARIKIWE SANA.
LikeLike
NAOMBA UNIOMBEE MAANA BABA YANGU AMELALAZWA YUPO HOI HOSPITAL NDIYE ANAYE NISAHIDIA KWENYE ADA PIA NI NGUZO YA FAMILIA YETU NAOMBA MAOMBEZI YENU MAANA TUME FIKA MWISHO KWA SASA HEE YESU UTUOKOWE
LikeLike
Tumsifu Yesu Kristu, kwanza kabisa napenda sana kuwapongeza watumishi wa Mungu kwa kazi hii mnayofanya. Naomba sana maombi yenu juu yangu kwani nina nia ya kutangaza neno la Mungu toka siku nyingi sana ila kila mara huwa napata vikwazo.Bwana awe nanyi
LikeLike
Amina mtumishi fidelis, labda tungependa pia kujua ni vikwazo vya aina gani, maana pengine tunaweza pia kukushauri. kama ni vya siri kwamba huwezi kuvisema hapa hadharani, tuandikie kwenye hii e-mail: newhopeministrytanzania@gmail.com
LikeLike
Mimi naitwa hilda mwakajonga nnawapongeza kwa kazi ya bwana ombi langu kwenu nina mtoto mwenye matatizo ya kutembea toka kuzaliwa sasa hivi ni mkubwa anatembelea ukuta ,na ufahamu wake sio kwa asilimia zote lakini mambo mengi anatambua,akipata siku zake anachukua muda mrefu hivyo watu wa mungu naomba maombi yenu,pia ajira yangu na mume wangu zidumu ili tupate kumtunza ,anasoma shule maalum buguruni
LikeLike
Hilda Bwana akutendee sawasawa na mahitaji ya moyo wako kwa jina la Yesu.
LikeLike
Tumsifu Yesu Kristu,Napenda kuwapongezi kwa kazi kubwa watumishi na Mungu azidi kuwabaridi na kuwapa hekima na upendo kuendelea kutusaidia.Mimi ni msichana wa miaka 31 nilikua na mchumba wangu kwa mda wa miaka 11 kutokana na uhusian kua na mikasa mingi pamoja na yeye kutorudi nyumba au kurudi usiku wa manane na kunipiga mara nyingi nlikua nikiondoka kwenda kwetu na kurudi kwake,baadae nikajiingiza kwenye mahusiano na mume wa mtu ambapo mara ya kwanza nilifarijika sana ila siku znavyozidi kwenda naona namkosea Mungu wangu,nmeachna nae juzi ila nahisi nina ujauzito.Siko tayari kutoa mimba na nahisi moyo wangu hauna amnai kuzaa na mume wa mtu,niombeeni Mungu anisamehe na kunionyesha njia kwa haya ninayopitia sasa.Amen.
LikeLike
naomba kuombewa mm pamoja na mume wangu tumepata vvu
LikeLike
pole sana zituni. hakika Bwana yu-mwema siku zote yeye atawaponya kwa jina la Yesu. tumekuombea, tegemea uponyaji wako kukufikia.
LikeLike
Nahitaji maombezi juu ya mwanangu aitwaye Moses, ana umri wa miaka 11 anasumbuliwa na ugonjwa wa sukari kupanda. umemwanza tangu mwaka jana na cha ajabu ni kwamba si wa kuridhi maana sisi wazazi wake hatuna historia ya ugonjwa huo. unamsumbua sana na kwa sasa tumbo lake pia linamsumbua sana na limefula (kuvimba). Nahitaji msaada wa MUNGU uingilie kati maana akili ya kibinadamu sasa imeshindwa.
LikeLike
Nahitaji maombi yenu, nina mpenzi ambaye amekuwa akitoa ahadi ya kwenda kwetu ila kila ikifika ule muda anabadili mawazo na kusema kuna mambo anamalizia, Naomba maombi yenu mungu anisimamie katika hili kila hila za mwovu shetani zinazojiinua katika mahusiano haya zikashindwe, pia mungu atetee mahusiano haya mwaka usiishe awe ameenda kwetu maana ni ahadi ya siku nyingi.
LikeLike
naomba msaada wa maombi kwa ajili ya dada yangu boss aliyelazwa hospitali ya rufaa mbeya. kibinadamu hali yake inatufanya ndugu tutoe machozi kwa sababu inazidi kuwa mbaya na leo amewekewa mipira ya kupumulia. Tunaomba MUNGU atutoe katika hili kwa sabubu tumebaki kulia tu kwa kukata tamaa..
LikeLike
my name is albert njoroge john from kenya.
pls how can i get saved?
my number is +254 723 272 580
LikeLike
Amen kazi yenu ni nzuri naomba maombi kwa ajili ya binti yangu yuko shule boarding lakini anapitia mazingira magumu shule ambayo mimi mama yake nashindwa kumfikia naomba sana maombi kwa ajili yake. Naamini Mungu atafanya kitu.
LikeLike
Hi Reverend Benny Hinn My Name Is Pastor Peterson Jorlanging From Marshall Islands And My Prayer Request Is For The People They Lived In My Country They Need Everything Also Especially They Need Jesus In There Life
LikeLike
DEAR! WE HAVE DIRTY CARPET IN CHURCH ”GODS FAMILY”.PLEASE PRAY FOR NEW! THANKS! GOD LOVE YOU! SERGE LEVCENKO/LIEPAJA.LATVIA/
LikeLike
Pray for my talents
Pastor Peterson
LikeLike
Pray for my talents
LikeLike
naomba mumuombee mtoto wangu mgonjwa sana, amelazwa hospital ya rufaa ya mkoa TUMBI
LikeLike