Yesu alisema “Njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kuelemewa na mizigo nami nitawapumuzisha, jitieni nira yangu mkajifunze kwangu maana mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo, nanyi mtapata raha nafsini mwenu, kwa maana nira niwapayo mimi ni laini na mzigo wangu ni mwepesi” Mathayo 11:28-30.
Kwa kawaida kuna watu ambao wanasumbuka na mzigo lakini kwa bahati mbaya hawajuwi kama ni mizigo kwao, na wala hawajuwi ni wapi ta kuitua, kuna magonjwa makubwa yasiyotibika, matizo ya kifamilia,kiuchumi,kielimu n.k. Yote haya ni mizigo ambayo Yesu aliimanisha katika kifungu hiki, lakini yeye anasema uende kwake atakupumuzisha na wewe utakuwa raha katika nafsi yako.
Watu wengi Duniani wamejeribu kutafuta namna ya kujinasua na matatizo walinayo lakini imeshindikana kutokana na uzito wa matatizo hayo, lakini leo ninakutangazia namna ya kujinasua, haijalishi umeteseka kwa Muda mrefu, Yuko Yesu leo anakwenda kukupumzisha, yeye anasema nira yake ni laini na mzigo wake ni mwepesi, yaani sheria zake ni nyepesi sana. Yesu hana Sheria kama Ibirisi alivyo na sharia Ngumu, sheria za ibirisi ukienda kwa mganga wa kienyeji atakwambia ili utajirike mtoe mkeo kafara au mwanao Yule unayempenda sana ndipo utajiri uupate. Lakini kwa yesu ni rahisi tu, Biblia inasema mkabidhi Bwana njia zako naye atakupa yale ambayo moyo wako unayatamani, kama unatamani fedha anakupa tu wala hakuna shida, Biblia inasema Fedha na Dhahabu ni mali yake kwa hiyo atakupa bila shida.
Haijalishi ndoa yako inayumba sana yeye ukimkabidhi hiyo ndoa yako atairekesha mapema mno, haitayumba tena maana yeye anaitwa mshauri wa ajabu mfalme wa amani. kama amani ilikuwa imeondoka atairejesha, kama mumeo/mkeo hakusikilizi yeye atamshauri maana yeye ni mshauri wa ajabu atakusikiliza tena vizuri kabisa. Acha kuteseka mwambie Yesu akutue mzigo wako leo.
Bwana akubariki.
Ev.Moses Mayila
Our principles
NEW HOPE MINISTRY'S SITE
This site is not for dating, it is the site for the word of God, everybody is allowed to comment and to teach the word of God on this site. you are all welcome.OUR PURPOSE
Our purpose is to reach out the Hopeless peoples, to preach them the Gospel and to give them the New Hope which comes from Christ Jesus. but this is not our only purpose but to help the peoples to get to know more about God and his kingdom, and to help the children to live through the will of God. so we allow every body to speak out through this site, anything which you want to speak just speak, if you want to ask just ask we will soon answer your question. you are welcome all.Mtandao huu ni kwa ajili ya neno la Mugu tu, Mtu yeyote unaruhusiwa kutoa mafundisho ya neno la Mungu hapa, na kama unamkutano wa injili, semina n.k, usisite kutangaza katika mtandao huu ni bure hutozwi gharama yoyote.
Bwana awabariki woteNew Hope Ministry
Mobile phones:
+255 715 961 270
+255 755 961 270
+255 787 589 475Prayer lines
Join this Ministry
we welcome missionaries
Sarah emmanuel released her new albam
NHM: Tutakuwa kihancha kenya 22/12/2014
NHM: Tutakuwa mjini Bujumbura Burundi 18/01/2015
Looking for copper mining investors in Tanzania
USA Mwakasege Conference
NHM: Tutakuwa Mwanza 24/03/2013
New Hope Ministry Blog
Strictly Gospel
Our friends blog site
NHM: Mwanza Feb.2014
DONATE FOR THIS MINISTRY
Please support us to curry this Gospel to other peoples, because we always travels for the Gospel, so we need money for transport, we need some money to leave with our family. we need money to buy food and accommodation while we travel, some times we need to hire equipments such as speaker &, electric power. In some countries we have to pay for the government to give us a permission to make a crusade. we need clothes and drinking water. so we do not have this money, without your support we cant continue, it is very difficult, please support us anything you have and God will bless you much.
EXIM BANK (T) LTD
P.O.BOX 1431
DAR ES SALAAM
TANZANIA.Account name: MOSES KAPAYA MAYILA
Account number: 5460997775
Swift code: EXTNTZTZ-
Join 5,114 other subscribers
sign in
visitors