Stay Alive

image

Being dead doesn’t mean that a person is totally gone. Also being living doesn’t mean that a person is totally alive.

Because a person may die but still alive. Aslo a person may be living but dead!
How awesome are these words?

Any person died with Jesus, he is alive even though he is dead. We remember what happened to the dead person after the conduction of his deadly body with the remained bones of Elisha’s body in a grave where a person did rose from the dead because elisha was dead but alive.

Also a person living sinful live is considered dead beacuse of the sin into him.

The Lord can restore every living dead person and bring him to live again. Repentance is the only way to the restoration. Dont delay; step for changes.

Ev.Mose mayila – senior pastor NHM

Posted in HOME | Leave a comment

Lowasa ahamia ukawa

image

Waziri mkuu msaatafu wa awamu ya nne mh. Edward Lowasa ametangaza rasmi kukihama chama chake ccm na kuhamia chadema. Lowasa alisema hayo jana katika mkutano wa ukawa pale bahari beach jijini dar es salaam. hata hivyo hofu imewakumba baadhi ya watu na kuwaza huenda huo ni mkakati wa ccm kuuvunja ukawa.

Hata hivyo kumetokea hali ya sintofahamu baina ya wafuasi wa chadema mara baada ya mh. Wilbroad slaa na mh. Tundu lisu kutoonekana katika mkutano huo, huku tetesi zikisema kwamba mh. Dr. Slaa na mh. Lisu wamekasirishwa na maamuzi ya mwenyekiti wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema mh. Freeman mbowe cha kumkaribisha mh. Lowasa na kumpa fursa ya kuwania taji ya urais kupitia ukawa.

Mwandishi wa azam tv jana alimuuliza mh.halima mdee kuwa kwanini viongozi hao wa ngazi ya juu kabisa hawakuonekana. Mh.mdee hakujibu swali hilo na badala yake alianza kuchengachenga hali iliyopelekea watu wengi kusadiki kuwa kweli mh.dr. Slaa na mh. Lisu wamegomea kitendo hicho.

Mwandishi wa blog hii amemtafuta dr. Slaa kwa njia ya simu ambapo mh. Slaa hakutaka kuzungumzia hilo.

Posted in HOME | Leave a comment

Halleluiah brothers and sisters

image

Halleluiah. After being operating a crusade at furahisha last week. Thi afternoon i have an opportunity of being in the house of the Lord (Lumala EAGT) My home church. This photo is the second sunday service. Keep praying for us.

Posted in HOME | 2 Comments

Our crusade has ended today

image

We have completed our mision to mwanza city this week. Where thousands they came to Jesus by the realese of the powerful Gospel which a man of God Ev.kidosi preached. Keep praying for the again next year mwanza crusade. We are now taking a break for a moment then we will move to another place.

Posted in HOME | Leave a comment

Our this week crusade in mwaza city

image

Brothers and sisters. We are writting from mwanza city east africa. We are operating a crusade at furahisha area in mwanza city. Many has accepted jesus and demon are leaving them. This crusade will continue to sunday 19 july 2015. Keep praying   for us

image

The maltitude surrenders to jesus christ

image

             Demons are getting out

image

Ev.danaford kidosi leading a prayer to the multitude

image

Ev.kidosi preaching at our crusade

Posted in HOME | Leave a comment

John Komanya afariki dunia

image

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba. Mwimbaji maarufu kutoka Tanzania bishop John Komanya amefariki. Komanya atakumbukwa kwa kazi zake za uimbaji. Moja wapo ya wimbo alioimba ni ule ‘ZAWADI GANI’ Bwana ametwaa jina lake libarikiwe

Posted in HOME | Leave a comment

Dr.Daniel kulola yuko barani America kwa injili

image

Dr. Daniel moses kulola

Mhubiri maarufu Dr. Daniel Moses Kulola ambaye pia ni mtoto wa gwiji wa injili barani africa Rev. Moses Kulola yuko nchini marekani kwa injili.

Dr. Daniel yuko cincinnati ohio na baada ya hapo ataelekea jimbo tajiri nchini marekani jimbo la Texas. Hivi punde amezungumza na mtoto wake ambaye pia mwasisi wa New Hope Ministry Ev. Moses Mayila; Pastor daniel amesema anaomba msaada wa maombi ya watu wote. Hivyo tuungane pamoja kumuombea mtumishi wa Mungu ili Bwana aongozane naye kila kona.

Posted in HOME | Leave a comment

Daniel kulola: mision to katoro has done as wel

We thank God the crusade has finished wel in katoro geita tanzania. Where pastor daniel moses kulola was preaching over there.

IMG-20150524-WA0009Tommorow pastor daniel, happy shamawele, sarah emmanuel and cecilia emmanuel will coming back to the city where pastor daniel kulola will be waiting for his departure to America for the Gospel mison soon next month.

Your prayers for us are very important.

Posted in HOME | Leave a comment

Our last week crusade in Sengerema

FB_IMG_1431518274946Praise jesus. We are sorry for being quite.

We did conduct a crusade in Sengerema mwanza Tanzania early last week. Many peoples did come to Jesus. Many sick was been healed and demons was driven out. We praise God for the great miracles happened over the town.

Now happy shamawele and sarah emmanuel are operating a crusade in Katoro Geita Tanzania.

Your prayers for us are important

Posted in HOME | Leave a comment

Wakristo kadhaa wa dhehebu moja wameuawa wakijaribu kujihami nchini Angola

Chamakikuu cha upinzani nchini humo cha UNITA kilisema kuwa huenda watu 200 waliuawa huku chama tawala cha MPLA kikisema kuwa ni watu 13 waliuawa.

UNITA kinaitaka serikali ya Angola kuchunguza vifo vya waumini wa dhebu la Seventh Day Light of the World ambalo lilijitenga kutoka kanisala Seventh Day Adventist.

Dhehebu hilo linamini kuwa dunia itaisha mwishoni mwa mwakahuu na limetoa witu kwa wafuasi wake kuondoka makwaona kuelekea milimani.

Posted in HOME | Leave a comment